Inawezekana ukawa una paka makeup kwa urembo, inawezekana wewe ni mpakaji makeup (make up artist) ambae ulivutiwa tu kwa kuona wengine wanafanya lakini ukiulizwa nini maana ya makeup na ina faida gani huwezi kujibu well tupo wengi, sana sana jibu letu litakuwa kumfanya mtu azidi kuonekana mrembo ambalo ni kweli lakini kuna faida nyingine nyingi zinazo tokana na makeup.
Makeup – ni cosmetics / urembo ambao una tumika kuremba uso na kuufanya unekane vizuri zaidi. Vitu kama Mascara, Lipstick na eye shadow kwa ujumla vinaitwa makeup
Je make up zina faida gani ukiachana na kuremba uso
- Kupunguza miwasho ya ngozi – makeup hutengenezwa na kemikali mbalimbali lakini ndani yake zipo ambazo zinaweza kusaidia kutunza ngozi yako, kama kuipa unyevu na kusaidia ngozi isikauke na kukuwasha.
- Kupunguza mikunjo ya sura – hii inawezekana kila mtu anaijua kama ni mpenzi wa urembo unaweza ukawa umesha ona hata kwenye mitandao jinsi ambavyo make up artist wanawapaka make up wazee ambao baada ya kupakwa huonekana kama vijana, lakini ukiachana na hilo pia kemikali zitumikazo nyingine zinasaidia kufanya ngozi kuwa laini na kupunguza mikunjo.
- Sun Protection – unapo paka makeup jua likipiga haligusi ngozi linakutana na layer za makeup na kuishia hukohuko hii inasaidia ngozi yako kuto kupigwa na jua na kupata vipele au kuwa mweusi.
- Inazuia Break outs (kuharibika kwa uso) – kuna makeup ambazo ndani yake zinakemikali ambazo husaidia kuondoa chunusi unacho takiwa kufanya ni kusoma maelezo ya aina ya make up unayo nunua ina vitu gani ndani yake, unapo kosea kununua makeup ambayo haiendani na ngozi yako zinaweza kuleta matokeo hasi pia.
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/urembo/zijue-faida-4-za-makeup/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/urembo/zijue-faida-4-za-makeup/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/urembo/zijue-faida-4-za-makeup/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/urembo/zijue-faida-4-za-makeup/ […]